Sunday, October 28, 2012

SAMAHANI KWA PICHA HIZI..........BUT NDIYO MAISHA YA WANAFUNZI MAHOSTELI.....


NI AIBU KUYAGEUZA MAISHA YA SHULE KUWA KAMBI YA MAPENZI

Siku hizi ni kawaida kwa wanafunzi kupiga picha chafu kwa kisingizio cha ugumu wa maisha.......
Mbali na kisingizio hicho, wapo pia ambao hupiga kwa lengo la kutafuta umaarufu na wapo pia ambao hupigwa na wapenzi wao pasipo kukusudia........
Haijalisha alipigwa na mpenzi wake au alijipiga bila kukusudia.Sote tunajua,mwanafunzi ni sawa na kioo cha jamii maana hao ndo viongozi wa taifa la kesho.....Iko haja ya kubadilika

Saturday, October 27, 2012

PICHA HII YA UTUPU,YAMWAGA MACHOZI YA HUYU DADA...




HUU NDO MKASA AMBAO HUSNA HATAUSAHAU MAISHANI MWAKE.........HILI NDO SIMULIZI LALE BAADA YA PICHA ZAKE ZA UTUPU KUSAMBAA....
------------------------------------------------------------------
“Ni kweli ni picha zangu, nilipigwa na boyfriend wangu wa zamani, Frank ambaye ni mdogo wake Queen Suzy (Suzan Chubwa). Najuta sana kukubali kupiga,” alisema huku akimwaga machozi.

“Kipindi nikiwa na Frank, niligundua ana mwanamke mwingine nikamwambia aachane naye, lakini nikaambulia kipigo. Hata mama yangu alikuwa hataki mimi niwe naye maana alikuwa akinigeuza ngoma kwa kipigo.

“Niliongea na wifi Suzy (Queen) akasema atazungumza naye, lakini haikusaidia kitu. Nikaamua kuachana naye. Ndipo aliponipigia simu na kuniambia atanifanyizia kwa sababu alikuwa na picha zangu za utupu.

“Kwa kuhofia aibu, nikakubali kurudiana naye, lakini tabia zake zikazidi kunichefua, baadaye nikaachana naye jumla. Alinipigia simu kunitisha kuwa akinikuta na mwanaume mwingine atanishikisha adabu, lakini sikujali.

“Kuna wakati alinipigia simu na kunieleza kuwa flashi iliyokuwa na picha zangu za utupu pamoja na Mary (aliyekuwa mpenzi wa Frank ambaye naye alipigwa picha kama hizo) imepotea.

“Nilipombana kuhusu mazingira ya kupotea hakuwa na maelezo yanayoeleweka, sikutilia maanani, nilipopigiwa simu na kuambiwa kuwa kuna picha zangu za utupu nilikumbuka maneno yake... mimi nahisi ni Frank atakuwa amecheza mchezo huu,”alisema Husna akiendelea kumwanga machozi.

Sunday, October 21, 2012

MAMBO YANAYOTOKEA NDANI YA "DANCE ZA USIKU" YANATIA AIBU



















Monday, October 15, 2012

AIBU HIZI ANGALIA PICHA ZA NAMNA KIJANA ALIVYOTOA MACHOZI BAADA YA KUPEWA MAUNO NDANI YA SHOW YA KANGA MOKO.


Jamaa alizwa mbela ya mashabiki.
Mzuka ukaanza kumpanda:
Hakika mzuka umempanda ful kumwaga Radhi.
jamaa amekamatia kisawa sawa yani ilikuwa full kukojoa.



wakaamua kujifunika illi wamalize yao kabisa.

Man Water akijititimua na mwanadada ingawa mwisho ya siku alitoka  nduki.

CREDIT KWA BOSS NGASA

HII LAANA SASA.....MADENT NAO KATIKA PICHA ZA UTUPU



Wakati  mwingine nikifikiria  huwa  naumia sana.Siku  zote najiuliza  ni kitu gani kimetufikisha hapa tulipo? Ni  tamaa, ulimbukeni au  ndo umaskini unatutesa?.

Najaribu kuangalia mbali  lakini sioni tumaini  lolote.  Naona tumetandwa na giza nene na hatujui nini cha kufanya.....

Kama utakumbuka, tumewahi kuripoti  juu ya sakata la  POLISI WA KIKE KUPIGA PICHA AKIWA UCHI.