Thursday, February 7, 2013

JAMANI DADA ZETU HII SASA IMEZIDI: PICHA KAZAA MABINTI WAKIWA KATIKA MAHABA YA WAO KWA WAO

Hizi tumezipata facebook wakiwa wamepost kwenye kurasa zao, ina maana hii hali ipo kwa dada zetu, jamani wanaume wameisha au ni nini????????   These are the kind of pictures  you see our beautiful African ladies posting on their wall... Well if they are able to share it on their wall that means they don't mind the whole world seeing them, right? Behold.. ZI ...

Saturday, December 8, 2012

UFUSKA BONGO MOVIE..PICHA BONGO MOVIE.....

KINACHOONEKANA kwa sasa Bongo ni ugumu wa serikali kupambana na vita dhidi ya maambukizi ya Virusi vya Ukimwi baada ya jamii kushindwa kubadilika na kuona ugonjwa huo ni wa kawaida kama ilivyo kukohoa au kichwa kugonga. Hilo limedhihirika baada ya juzi chanzo chetu cha habari kupasha kwamba, baadhi ya wafanyabiashara na wabunge wameingia ‘kazi’ ya kuwanasa mastaa wa kike Bongo, hasa waigizaji wa filamu. Kwa mujibu wa chanzo hicho, wafanyabiashara maarufu wa jijini Dar...

Wednesday, November 28, 2012

STAR TV YAIBUA TUHUMA NZITO ZA NGONO KATIKA CHUO KIKUU CHA DODOMA ( UDOM)

Taarifa ya habari ya Star tv ya saa mbili usiku ya tarehe 23/11/2012 imeeleza kuwa wanafunzi wa kike katika chuo kikuu cha Dodoma (UDOM) wanadaiwa kufanya biashara ya ukahaba katika maeneo mbalimbali ya starehe mjini Dodoma! Habari hii inasikitisha hasa ukizingatia umuhimu wa wasomi hawa katika Tanzania na hatari inayoweza kuwapata kama taarifa hii ina ukweli. Kama jamii tujiulize, tatizo ni nini mpaka mtu wa level kama hiyo kuamua kuvaa vichupi na kujiuza kwenye clubs na sehemu...

PICHA 15 ZA UTUPU,ZA WASANII MBALIMBALI HAPA NCHINI..NI AIBU/MMOMONYOKO WA MAADILI

UWOYA 2012 ROSE NDAUKA  NA MAYAAMA kweli dunia imekwisha! ts KUMBU KUMBU  YA SAKATA  HILO LA AIBU. ...kulia kwake ni unga..bila shaka ulimpotezea kumbukumbu Tarehe 18  may, 2010 tangu picha hizi zianze kusambaa mitandaoni,Aisha alifunguka  kuwa  picha hizi ni za kutengenezwa. Mtandao wa Global publisher ulimtaka Asha awathibitishie watanzania kuwa picha hizi si zake lakini alishindwa kuthibitisha  kuwa picha hizo ni za kutengeza,...

Page 1 of 3123Next