Wednesday, November 28, 2012

PICHA 15 ZA UTUPU,ZA WASANII MBALIMBALI HAPA NCHINI..NI AIBU/MMOMONYOKO WA MAADILI



UWOYA

ROSE NDAUKA  NA MAYAAMA kweli dunia imekwisha!
ts

KUMBU KUMBU  YA SAKATA  HILO LA AIBU.

...kulia kwake ni unga..bila shaka ulimpotezea kumbukumbu

Tarehe 18  may, 2010 tangu picha hizi zianze kusambaa mitandaoni,Aisha alifunguka  kuwa  picha hizi ni za kutengenezwa.

Mtandao wa Global publisher ulimtaka Asha awathibitishie watanzania kuwa picha hizi si zake lakini alishindwa kuthibitisha  kuwa picha hizo ni za kutengeza, zilitengnezwa wapi na lini na vigezo gani vinavyoonesha picha hizo ni za kutengeneza.

Ushahidi wa Global kuwa, picha hizo ambazo za mnato na video ni za Aisha mwenyewe upo wazi na hakuna shaka yoyote.NI TAMAA ZA   WASANII  WA BONGO NA ULIMBUKENI WAO.



.
Hata hivyo, sehemu kubwa ya picha za mnato na video hizo zinaonesha wazi kwamba, Aisha alikuwa tayari kupigwa picha hizo, kwani kuna wakati alikuwa akitazama kamera na nyingine akiwa ameweka pozi.

Mara baada ya kutua Bongo akitokea Afrika Kusini, alimwangukia bosi wake, Asha Baraka akimwomba radhi kwa yote aliyoyafanya Afrika Kusini .

Katika habari hiyo, Asha Baraka  alinukuliwa akisema kuwa, anaamini Aisha aliteleza na hivyo ameamua kumsamehe na kumrudisha kundini kuendelea kupiga mzigo kama kawa.

....ntajua ntakachowaeleza watanzania...
AGNESS MASOGANGE... 

BAADA ya kuandamwa na skendo kibao za kutoka na vigogo kisura wa video za wasanii wa bongo, Agnes Gerald maarufu kama Agnes Masogange, ameonekana kwenye mkanda wa picha ya ngono ambao umesambaa mtaani huku ikiwa dili kwa watu wanaotaka kuona umbo la mwanadada huyo.

Mkanda huo unaomuonesha mwanadada huyo akiwa mtupu, huku utata mkubwa ukizunguka kujua ni kitu gani kilichosababisha hadi kusambazwa kwa video hiyo.



  Mwandishi mmoja wa mtandao wa udaku hapa nchini
alifanikiwa kupata video hiyo ambayo mwanadada huyo ameonekana na kijana mmoja ambaye bado hajafahamika jina lake.

Baada ya kupatatikana kwa video hiyo mtandao huo ulijaribu kumsaka Agnes ili kufafanua uwepo wake ndani ya video hiyo lakini hakuweza kupatikana kwenye simu yake .

1 comments:

Post a Comment